WAFANYAKAZI POSTA WAKAMATWA KUSAFIRISHA BANGI.

0:00

Dar es salaam

Watumishi wa Posta ni maofisa George Mwamgabe,Sima Ngaiza na Dereva wa shirika hilo Abdulrahman Msimu,wanakabiliwa na kesi ya kusafirisha Dawa aina ya Heroin na Bangi.

Imeelezwa Agosti 2018 katika ofisi za Posta Ilala jijini Dar es salaam, washtakiwa walisafirisha Bangi yenye uzito wa Gramu 124.55 na Heroin Gramu 1.55 kupitia vifurushi vya Mizigo kutoka Dar kwenda Morogoro.

Mahakama ya hakimu Mkazi Kisutu ,imeahirisha kesi hiyo hadi Agosti 14,2023 ambapo washtakiwa watarudi kwaajili ya kujitetea.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura amefanya mabadiliko ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe na Mkuu wa Chuo cha Polisi Zanzibar.
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading