KURASA ZA MAGAZETI YA LEO 7 AGOSTI 2023

0

0:00

Dar es salaam

Mpemzi msomaji wa Magazeti ni asubuhi nyingine tena ambapo leo magazeti yana habari kuhusu Simba Day na Janga la Moto Ubungo. Magazeti ya hivi leo karibu yote yameandika kuhusu Simba Day ambapo Mgeni rasmi alikuwa ni Rais wa Tanzania Samia Suluhu ambaye kati ya mengi aliyosema ni kuhusu kuipongeza Simba na Ubunifu wao wa Kibegi ambao amesema umeitangaza Tanzania kiutalii.

Habari kuu nyingine iliotapakaa kwenye magazeti ya leo ni Moto uliowaka jana ukisababishwa na tenki la gari la mafuta kupasuka eneo la Ubungo na kusababisha taharuki na hasara kubwa kwa dereva bodaboda na vibanda vilivyoungua.

HAYA NDIO MAGAZETI KWA NJIA YA PICHA

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  DIAMOND SASA APIGWA CHINI YOUTUBE
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading