JE NI NINI KINASABABISHA MFULULIZO WA MAPINDUZI YA KIJESHI KWENYE SERIKALI ZA AFRIKA?

0:00

Makala Fupi

Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na matukio ya kijeshi ya nchi mbalimbali kupindua Serikali za nchi zao huku sababu zikitajwa kuwa ni Utawala Mbovu wa Viongozi waliopo Madarakani,Ufisadi, Rushwa na Kutokuheshimu Haki za Binadamu.

Inaelezwa 38% tu ya Nchi za Afrika zimebaki na utaratibu wa ukomo wa mihula ya Urais ,nyingine zilizojaribu kuondoa ukomo zimekuwa katika matatizo ya kukosa Utulivu,na MAPINDUZI ya Kijeshi.

HII NI ORODHA YA NCHI ZA AFRIKA ZILIZOONDOA UKOMO WA VIPINDI VYA URAIS

;# CAMEROON 🇨🇲

# CHAD 🇹🇩

# DJIBOUTI 🇩🇯

# GABON 🇬🇦

# GAMBIA 🇬🇲

# MAURITIUS 🇲🇺

# SOUTH SUDAN 🇸🇸

# TOGO 🇹🇬

# UGANDA 🇺🇬


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  BUNGE LAITAKA SERIKALI KUPUNGUZA GHARAMA ZA UMEME
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading