WASANII WANAOLIPWA HELA NYINGI ZAIDI AFRIKA

Orodha hii inaangazia wasanii kutoka bara la Afrika sio wenye asili ya Afrika wanaolipwa hela nyingi kwenye show zao. Hii tumeiweka kwa dola hili kuweka usawa kwa maana Msanii wa Nigeria akilipwa kwa Naira au Afrika kusini akilipwa kwa randi itakuwa ngumu kufahamu ukweli wa mabadilishano ya pesa kwa nchi husika.

1. Wizkid (☆$200k to $1milioni)

2.Burna Boy (200k to $1 milioni)

3.Davido OBO ($200K to $1 milioni)

4.Rema ($150k to 300k)

5.Tiwa savage ($150 to 300k)

6.Diamond Platinum ($100k)

7.Black Coffee ($80k)

8.Fally Ipupa ($50k)

9.Alikiba ($50k)

10.Sarkodie ($45k)

11. Sauti sol ($40k)

12.Shatta wale ($30k)

13.Stonebwoy ($30k)

14.Harmonize ($25k)

15.Nyashinski ($20k)

Loading

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV

Related News 📫

“I’m now richer than politicians, oil moguls...
Famous celebrated Musical sensation Burna Boy, has recently taken to...
Read more
ASAKE DEBUTS NEW LOOK CUTS OFF DREADLOCKS...
OUR STAR 🌟 "The prophecy is coming to pass" –...
Read more
WHAT TO DO WHEN YOUR SPOUSE IS...
Over the weekend, I saw a movie. The movie centres...
Read more
See also  KOCHA NABI KWENYE RADA ZA TUNISIA

Leave a Reply