GUARDIOLA KUMRITHI SOUTHGATE ENGLAND

0:00

Michezo

Chama cha soka England (FA) kinatazamia kumpa kandarasi Mkufunzi wa Manchester City Pep Guardiola kuwa kocha Mkuu wa England baada ya boss wa sasa Gareth Southgate.

Imeripotiwa kuwa viongozi wa chama cha soka England yaani FA wanaamini kuwa Southgate anaweza kuchagua kuachia ngazi baada ya mashindano ya Euro 2024 huku mkataba wake ukitamatika mwishoni mwa 2024.

Ripoti zinadai kuwa FA inamtazama kocha Pep kama chaguo sahihi kwenye orodha ya makocha wanaopigiwa chapuo kumrithi Southgate. Hata hivyo, kikwazo kikubwa kinasalia kuwa mkataba wa Guardiola na waajiri wake wa sasa timu ya Manchester city, ambao unatamatika 2025.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  KILICHOMUONDOA JAMHURI KIHWELO SINGIDA FOUNTAIN GATE HIKI HAPA
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading