WAZIRI WA FEDHA AIOMBA WB DOLA

0:00

Habari Kuu

Waziri wa Fedha ,Dkt .Mwigulu Nchemba ,ameiomba Benki Ya Dunia kuharakisha upatikanaji wa Dola za Marekani zaidi ya Milioni 500 ifikapo Novemba 2023 ili zisaidie kukabiliana na uhaba wa Fedha hizo katika mzunguko wa Fedha Nchini.

Dkt. Mwigulu ameuambia ujumbe wa Benki ya Dunia (WB) unaosimamia kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika kuwa changamoto ya upatikanaji wa Dola inachangia Mfumuko wa Bei na kukwamisha uagizaji wa Bidhaa muhimu ikiwemo Mafuta.

Aidha,amesema Serikali kupitia Bunge imefanya maboresho na kupitisha Mabadiliko mbalimbali ya Sheria na kanuni zitakazowrzesha kuvutia Uwekezaji wa Mitaji na Teknolojia.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  MNADA WA HOROHORO KUIFUNGUA TANZANIA
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading