JUX NA DIAMOND PLATINUMZ wAPATA PIGO

0:00

Michezo

Video ya wimbo “Enjoy ” wa mwanamziki Juma Jux aliyomshirikisha Naseeb Abdul maarufu Diamond Platinum imeondolewa kwenye mtandao wa YouTube kwasababu ya masuala ya haki miliki.

Sapologuano Odenumz

Akizungumza na kituo cha Habari cha Mpenja TV, Mwanamziki kutokea nchini Congo ,Sapologuano Odenumz ambaye ndiye alyeondoa “audio” ya wimbo huo mwezi mmoja uliopita amesema sababu za kuondoa video hiyo ni baada ya Msanii Jux kuvunja makubaliano waliyowekeana.

Juma Jux

Tulimalizana kimaongezi na vitu vingine ambavyo tumeongea nao tukamalizana nao siwezi nikaweka wazi kila kitu,lakini kuna baadhi ya vitu vingine ambavyo hawakutimiza ndio nimeamua kuishusha tena” amesema

Ameongeza

Sisi hatuna ubaya nao ,mbele ya kufanya kitu chochote huwaga tunawajulisha kwanza,wanapokataa kutujibu tunaona kama hawa watu wanatugeuka na sisi tunafanya ya kwetu”.

Diamond Platinum

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading