FAMILIA YA OMAR BONGO YAZIDI KUANDAMWA DiscoverCars.com

0

0:00

Habari Kuu

Silivia Bongo Ondimba, Mke wa Rais aliefurushwa madarakani Ali Omar Bongo Ondimba ameshitakiwa kwa kosa la utakatishaji pesa ambapo ofisi ya mashtaka imeziagiza idara za usalama kumuweka chini ya ulinzi nyumbani kwake baada ya Mahakama kupokea mashtaka yanayomhusisha na Rushwa na ufisadi.

Ofisi hiyo imesema mashtaka mengine yanayomkabili mke wa kiongozi huyo aliyepinduliwa na jeshi Agosti 30,2023 ni pamoja na kupokea mali za wizi ,kughushi na kutumia nyaraka na mali zilizopatikana kwa kughushi.

Hatua hii inakuja siku chache baada ya mtoto mkubwa wa Ali Bongo ashitakiwe kwa makosa ya uhaini na ubadhirifu wa mali za umma ikiwa ni baada ya kufanyiwa upekuzi na kukutwa na mabegi ya mamilioni ya fedha.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  JINSI IRAN ILIVYOISHAMBULIA ISRAEL KWA NDEGE ZISIZO NA RUBANI
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading