banner

YANGA YATINGA KIBABE MAKUNDI AFRIKA

0

0:00

Magazeti

Karibu Mtanzania kwenye mbao za magazeti ya hivi leo,ambapo habari zilizotokea mara nyingi kwenye magazeti haya ni pamoja na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kukipa chuo cha Diplomasia jina la aliyewahi kuwa naibu katibu mkuu wa UN.

Habari nyingine ni kuhusu Papa Francis kumsimika aliyekuwa Askofu Msaidizi Jimbo kuu la Tabora ,Protas Kadinali Rugambwa kuwa rasmi Mhadhama Kadinali mpya wa Tanzania.

Kali ya leo kwenye magazeti ya leo ni klabu ya Yanga kutinga hatua ya Makundi baada ya miaka 25 kupita na kujiwekea historia mpya .Yanga imetinga hatua hiyo baada ya kuwa na ushindi wa jumla wa 3 kwa 0.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading