BURNA BOY AKATAA KWENDA DUBAI KISA BANGI

0:00

NYOTA WETU.

Msanii wa Nigeria Burna Boy amefunguka baada ya kugoma kwenda Dubai kufanya onesho ambalo angelipwa mamilioni ya dola zaidi ya milioni 5 baada ya kukosa kibali cha kuvuta bangi Dubai.

Umoja wa Falme za Kiarabu UAE una sheria kali dhidi ya madawa ya kulevya ambazo zinatekelezwa kwa nguvu zote ,sheria ya Shirikisho Na.14 ya 1995 juu ya hatua ya kukabiliana na dawa za kulevya (sheria ya madawa ya kulevya) inaharamisha ununuzi,uingizaji ,usafirishaji, utengenezaji, uchimbaji,utenganishaji,uzalishaji, umiliki,upatikanaji na matumizi mabaya ya madawa ya kulevya na aina nyingine za shughuli na vitendo vinavyohusiana na hivyo (kifungu cha 7).


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  MCHEPUKO ALIVYOGHARIMU MAISHA YA RAINFORD KALABA
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading