YANGA WAJA NA STAHILI MPYA YA TANO DiscoverCars.com

0:00

MICHEZO

Meneja wa habari na mawasiliano wa klabu ya Yanga, Ally Shaban Kamwe amewataka mashabiki wa klabu hiyo kusimama na kuinua mkono mmoja juu Ikafika dakika ya tano ya mchezo kama ishara ya kuonyesha vidole 5 katika mchezo wa kesho dhidi ya Coastal Union ikiwa ni ishara ya kuwapongeza wachezaji wa klabu hiyo kwa kazi nzuri walioifanya kwenye ushindi wa 5-1 dhidi ya Watani wao Simba Sc.

“Mashabiki wa Yanga tutakaoingia Mkwakwani kesho,tunaombwa ikifika dakika ya 5 kwenye mchezo wetu dhidi ya Coastal Union tusimame wote na kuinua mkono mmoja juu kama ishara ya vidole vitano. Hii ni kwaajili ya kuwapongeza wachezaji wetu kwa kazi nzuri walioifanya “.

Ameandika Ally Shaban Kamwe kwenye mitandao yake ya kijamii.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  SABABU GAMONDI KUMPIKU BENCHIKHA KWENYE TUZO
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading