D VOICE MSANII MPYA WCB WASAFI

0:00

NYOTA WETU.

Msanii aliyejulikana zaidi kwenye miondoko ya singeli maarufu kama D Voice ametambulishwa rasmi kama msanii mpya wa lebo ya WCB.

Mmiliki wa lebo hiyo Mwanamziki Naseeb Abdul “Diamond Platinumz ” amesema walikuwa na miezi takribani tisa kumuandaa msanii huyo hili wapate zao lao pia haikuwachukua ugumu kwakuq ana kipaji na lebo ilikuwa na shauku ya kuwa na Msanii mpya.

Msanii huyo ametambulishwa katika hafla maalumu iliyoitwa Swahili Night 🌙 ambapo watu maarufu mbalimbali waliojitokeza huku watangazaji Lilly Ommy na Ammy Girl wakiongoza hafla hiyo usisahau Dvoice katika utambulisho wake imeachiwa album yake yenye nyimbo 10 zenye vionjo tofauti tofauti ukiachana na singeli, Album inaitwa “Swahili Kid” ambayo inapatikana kwenye mitandao yote ya kijamii.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  SABABU ZA DIAMOND PLATINUMZ KUKATAA SHOW ZA NIGERIA
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading