TANZANIA YAIBABUA NIGER

0:00

MICHEZO

Tanzania imeanza vyema kampeini za kufuzu fainali za kombe la Dunia 2026 kwa ushindi dhidi ya Timu ya Taifa Niger alimaarufu “Menas”.

Morocco haijacheza mchezo wake kutokana na timu ya taifa ya Eritrea 🇪🇷 ambapo pia walikuwa kundi E ,kujiondoa.

Kwa mujibu wa vyanzo sababu zisizo rasmi za Eritrea kujiondoa ni kuwazuia wachezaji kutumia fursa ya mechi za nje ya nchi za timu ya taifa kutoroka na kuomba hifadhi ya kisiasa kutokana na utawala wa kibabe wa Rais wa Eritrea 🇪🇷 , Isaias Afwerki ,ambao unalazimisha utumishi wa maisha wa kijeshi kwa raia nchini humo.

MSIMAMO MPAKA SASA WA KUNDI E

1. ZAMBIA 🇿🇲 (3)

2. TANZANIA 🇹🇿 (3)

3. MOROCCO 🇲🇦 (0)

4. NIGER 🇳🇪 (0)

CONGO BRAZZAVILLE 🇨🇬

Goli la Taifa stars limetiwa kimiani na Charles M’mombwa.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  Wakati watu wengi nje ya Liverpool wakimuona kama ni mbinafsi na anajiangalia yeye tu, mshambuliaji wa timu hiyo Mohamed Salah amewaziba mdomo waliodhania tofauti.
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading