MESSI ATAJA SABABU ZA VURUGU UWANJANI MARACANA

0:00

MICHEZO

Nahodha wa timu ya Argentina, Leonel Andres Messi ameelezea hisia zake juu ya vurugu zilizozuka uwanjani na kusababisha mchezo wa kufuzu kombe la Dunia kati ya Brazil na Argentina kuchelewa kwa muda baada ya polisi wa Brazil na mashabiki wa Argentina kuingia katika mzozo.

“Timu hii imeendelea kuweka historia, ushindi mzuri katika uwanja wa Maracana ingawa utakumbukwa kwa ukandamizaji wa Waargentina tena nchini Brazil.Hali hii sio ya kukubalika ,ni ya kushangaza na inahitaji kukomeshwa sasa”


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  Mchezaji wa timu ya taifa ya Tanzania mwenye umri wa miaka 20, aliyekuwa akikipiga kwenye klabu ya KRC Genk, Kelvin John amejiunga na klabu ya AaB Fodbold inayoshiriki ligi daraja la kwanza maarufu kama NordicBet Liga ya huko nchini Denmark.
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading