SIMBA WALIVYOFANYA UMAFIA KWA MAX NZENGELI.

0:00

MICHEZO.

Viongozi wa klabu ya Maniema Fc ya DRC wamesema viongozi wa Simba SC waliwafata na kuwaahidi ofa nono ili wamsajili , Max Nzengeli.

Hii imetokea baada ya siku za hivi karibuni mchambuzi, Jemedari Said kufichua kuwa ,Max Nzengeli yupo ndani ya klabu ya Yanga kwa mkopo . Viongozi wa Simba SC waliamini na kufanya mawasiliano na klabu ya Maniema Fc ili kumsajili nyota huyo.

Kiongozi wa klabu ya Maniema Fc ambaye akupenda kujitambulisha amesema;-

“Ni kweli Simba SC wametufuata na kutupa ofa wakimtaka Max Nzengeli, tumewaambia Max Nzengeli ni mali ya Yanga na biashara yoyote ya mauzo ya Max ipo kwenye mikono ya yanga . Ni mchezaji wao.

Tulimuuza Max Yanga japo tuliweka kipengele kwamba, Yanga wakimuuza kwenda klabu nyingine Maniema tutapata asilimia kadhaa ya mauzo”.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  Why Men are Important In a Marriage?
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading