0:00

MICHEZO

Nyota wa soka Lionel Andres Messi huenda akaongeza rekodi yake nyingine kwenye maisha yake baada ya kutangazwa kwa mnada wa seti sita za jezi alizozitumia kwenye kombe la Dunia mwaka 2022 huko Qatar, ambao kwa mujibu wa sotheby utafunguliwa Novemba 30,2023 hadi Desemba 14 huko New York.

Katika mnada huo jezi zinatarajiwa kuuzwa kwa zaidi ya pesa za Tanzania bilioni 24.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  MFAHAMU CHADRACK BOKA MRITHI WA LOMALISA PALE YOUNG AFRICANS
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading