ARSENAL WAPO KILELENI MWA MSIMAMO WA LIGI YA EPL

0

0:00

MICHEZO

Bao la dakika za jioni kabisa la Kai Havertz dhidi ya Brentford limeipeleka Arsenal kileleni mwa msimamo wa EPL katika uwanja wa Brentford Community.

Arsenal imefikisha alama 30 baada ya michezo yake 13,wakiwa wametia kimiani jumla ya mabao 27 na wao kuruhusu nyavu zao kutikiswa mara 10.

Mpaka sasa Arsenal ndio timu pekee iliyoruhusu mabao machache kwenye ligi ya Premier ,magoli 10 pekee.

Liverpool inashika nafasi ya pili kwa utofauti wa mabao na Manchester City huku klabu ya Newcastle United nayo ikitinga kwenye nne bora baada ya ushindi wa jana dhidi ya vigogo klabu ya Chelsea.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  FRANCIS NGANNOU AWAOMBA RADHI MASHABIKI KWA KUPIGWA
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading