AZIKWA SIKU 7 ILI KUPATA WAFUASI WA YOUTUBE

0:00

NYOTA WETU

Mtengeneza maudhui maarufu Duniani kupitia mtandao wa YouTube kwa jina la Mr Beast ,wiki hii amekuwa gumzo mtandaoni kwa kufanya maajabu ya kuzikwa na kufufuka baada ya siku saba.

Mwanablog huyo ambaye ndiye mtengeneza maudhui tajiri zaidi Duniani kwenye jukwaa la YouTube inasemekana alizikwa akiwa hai na video za moja kwa moja kurekodiwa kwenye tukio hilo.

Mtengeneza maudhui huyo inasemekana alilenga kupata wafuasi zaidi kwenye mtandao huo ambao wamekadiriwa kufika bilioni 200 ambayo inafanya kuwa mtengeneza maudhui tajiri anaelipwa na mtandao huo wa Google kiasi kikubwa cha hela.

Mr Beast kwenye video yake kama ambavyo wafu huzikwa na nguo nyeusi alifuata mtindo huo huo huku jeneza lake likipambwa kwa kioo sehemu ya juu ya kioo kilichomuonesha akiwa ndani ya kaburi lake la siku saba.

Ndani ya jeneza hilo alilowekwa kwa siku saba kulikuwa na taa,maua ,vyakula na hata vinywaji huku marafiki zake wakicheza na kuimba kuzunguka eneo ambapo alikuwa amezikwa ili aweze kutoka.

Licha ya kuzikwa na kulala kwenye jeneza kwa siku saba .mtengeneza maudhui huyo alitoka ndani ya kaburi akiwa mzima ,hii kwake ni mara ya pili kufanya hivyo akiwa katika harakati za kuongeza wafuasi kwenye mtandao huo wa You

kutoka


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  THINGS YOU MUST NOT DO DURING SEX
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading