MAAJABU YA MANCHESTER CITY KWENYE LIGI YA MABINGWA

0:00

MICHEZO

Manchester City ikicheza ,imetokea nyuma na kushinda licha ya kutanguliwa kwa 2-0 dhidi ya RB Leipzig na kutoka kwa jumla ya mabao 3-2.

Manchester city vs RB Leipzig magoli yamefungwa na ( Haaland 54′ Foden 70′ Alvarez 84′ na Openda 13′ 33′).

TIMU ZILIZOFUZU HATUA YA 16 BORA

1. Manchester City

2.RB Leipzig

3.Borussia Dortmund

4.Bayern Munich

5. Atletico Madrid

6. Real Madrid

7.Barcelona

8. Real Sociedad

9. Lazio

10. Inter Milan

Matokea zaidi

PSG 1-1 Newcastle

Barcelona 2-1 Porto

Milan 1-3 Borrusia Dortmund

Feyenoord 1-3 Athletico Madrid

Young Boys 2-0 Crvena Zvezvda


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  YANGA YAICHAPA SINGIDA IKIIPA SIMBA MASWALI MAGUMU
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading