0:00

MICHEZO

Shirikisho la mpira wa miguu ( FIFA ) limeiondolea klabu ya Simba adhabu ya kufungiwa kusajili wachezaji baada ya kuilipa klabu ya Teungueth ya Senegal.

Awali FIFA iliwafungia wekundu wa Msimbazi baada ya kushindwa kuilipa Teungueth kutokana na mauzo ya Sakho kufuatia wababe hao wa Senegal kufungua kesi FIFA ikidai malipo kutokana na malipo ya Sakho.

Simba ilishindwa kesi hiyo na kutakiwa kulipa malipo hayo ndani ya siku 45 tangu maamuzi yaliyofanywa na kamati za FIFA,lakini Simba SC ilishindwa kesi kwa kushindwa kulipa ndani ya muda husika.

Baada ya kukamilisha malipo hayo basi ni rasmi sasa hata Shirikisho la kandanda Tanzania (TFF) limeifungulia Simba kufanya usajili wa ndani.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  ALIOU CISSƉ KOCHA MKUU SENEGAL 2026
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading