REAL MADRID MPAKA KIELEWEKE KWA MBAPPE

0

0:00

MICHEZO

Real Madrid wameripotiwa kupanga kutuma ofa ya mwisho kwa nyota wa Paris-Saint Germain , Kylian Mbappe mwezi January 2024,lakini watapata muda wa hadi tarehe 15 ya mwezi huo kufanya mustakabali wake.

Kwa mujibu wa AS,Mbappe atakuwa huru kufanya mazungumzo na Mabingwa hao wa kihistoria wa Ulaya kwani mkataba wake na PSG utakuwa unamalizika kwenye majira ya joto na atakuwa tayari kufanya mazungumzo na Madrid.

Ikiwa Mshambuliaji huyo Raia wa Ufaransa hatafikia makubaliano na Madrid, huenda Mshambuliaji wa Manchester City, Erling Haaland akawa kwenye rada za Los Blancos .

Mfaransa huyo, anayetajwa kama mchezaji bora kuwahi kutokea Duniani, amekuwa akihusishwa na Real Madrid kwa kipindi cha miaka 6 toka alivyofanya vizuri kwenye michuano ya Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  DIDIER DESCHAMPS AFURAHISHWA NA PSG KUMKALISHA BENCHI MBAPPE
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading