WALIOLIPUA KANISA LA OLASITI ARUSHA KUNYONGWA

0

0:00

HABARI KUU

Masheikh 9 miongoni mwa walioshikiliwa kwa zaidi ya miaka 10 katika gereza kuu la Kisongo wamesomewa mashtaka katika Mahakama kuu ya kanda, ambapo 6 kati yao wamekutwa na hatia ya kulipua Kanisa Katoliki la parokia ya Mtakatifu Joseph Olasiti mwaka 2013, hivyo kuhukumiwa kunyongwa.

Waliohukumiwa ni Imam Jaafar ,Hashima Lema,Yusuf Ali Huta, Hamadi Waziri, Abdul Hassa Masta, Kassim Idrissa, na Abashiri Hassan Omari na walioachiwa huru ni Abdul Humud Wagoba, Abdurahmani na Amani Musa Pakasi ( ambaye amerejeshwa gerezani kwa kesi nyingine).

Katika hukumu hiyo Jaji alionesha kuridhishwa na ushahidi wa polisi kwamba Masheikh hao akiwemo Imam Mkuu wa Masjid Quba,sheikh Jaafar Hashim Lema walilipua kanisa katoliki hilo na kusababisha madhara makubwa.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  Minister of Women Affairs has initiated legal action against the Speaker of the Niger state
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading