YANGA YAFUNGUA DIRISHA LA USAJILI
MICHEZO
Shirikisho la soka la kimataifa Duniani (FIFA) limeiondolea klabu ya Yanga adhabu ya kutokusajili wachezaji baada ya kukamilisha malipo ya aliyekuwa mchezaji wao, Gael Bigirimana ambaye alivunjiwa mkataba na klabu hiyo na Kisha kufungua kesi ambayo pia alishinda.
Yanga ilitakiwa kumlipa mchezaji huyo ndani ya siku 45 tangu uamuzi wa FIFA ulipotolewa lakini haukutekelezwa mpaka kusababisha klabu kufungiwa.
Pia, Shirikisho la soka Tanzania nalo limeiondolea adhabu hiyo ya usajili wa wachezaji wa ndani.
Discover more from JUNIITV.ONLINE
Subscribe to get the latest posts sent to your email.