YANGA YAFUNGUA DIRISHA LA USAJILI

0

0:00

MICHEZO

Shirikisho la soka la kimataifa Duniani (FIFA) limeiondolea klabu ya Yanga adhabu ya kutokusajili wachezaji baada ya kukamilisha malipo ya aliyekuwa mchezaji wao, Gael Bigirimana ambaye alivunjiwa mkataba na klabu hiyo na Kisha kufungua kesi ambayo pia alishinda.

Yanga ilitakiwa kumlipa mchezaji huyo ndani ya siku 45 tangu uamuzi wa FIFA ulipotolewa lakini haukutekelezwa mpaka kusababisha klabu kufungiwa.

Pia, Shirikisho la soka Tanzania nalo limeiondolea adhabu hiyo ya usajili wa wachezaji wa ndani.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  BORUSSIA DORTMUND YAICHAPA BAYERN MUNICH BAADA YA MIAKA 10
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading