MWIMBAJI AFARIKI AKIWA ANATUMBUIZA
HABARI KUU
Muimbaji wa Injili nchini Brazil, Pedro Henrique(30) amefariki Dunia akiwa anatumbuiza jukwaani, Feira De Santan kibao chake “Vai ser Tai Lindo.
Baada ya matatizo alikimbizwa hospitali iliopo karibu na baadaye hospitali hiyo ilithibitisha kifo chake na kwa mujibu wa Tadoh Music ambayo ni lebo ambayo alikuwa akifanya nayo kazi,ilithibitishwa kuwa Pedro alikuwa anasumbuliwa na matatizo ya moyo.
Ikumbukwe ni mwezi toka Pedro na mke wake walipojaliwa mtoto wao wa kwanza wa kiume.
Discover more from JUNIITV.ONLINE
Subscribe to get the latest posts sent to your email.