MWIMBAJI AFARIKI AKIWA ANATUMBUIZA

0

0:00

HABARI KUU

Muimbaji wa Injili nchini Brazil, Pedro Henrique(30) amefariki Dunia akiwa anatumbuiza jukwaani, Feira De Santan kibao chake “Vai ser Tai Lindo.

Baada ya matatizo alikimbizwa hospitali iliopo karibu na baadaye hospitali hiyo ilithibitisha kifo chake na kwa mujibu wa Tadoh Music ambayo ni lebo ambayo alikuwa akifanya nayo kazi,ilithibitishwa kuwa Pedro alikuwa anasumbuliwa na matatizo ya moyo.

Ikumbukwe ni mwezi toka Pedro na mke wake walipojaliwa mtoto wao wa kwanza wa kiume.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  WHAT YOU MUST DO BEFORE YOUR RELATIONSHIP CAN WORK
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading