UGANDA YAZINDUA MFUMO WA KUZUIA RUSHWA

0

0:00

HABARI KUU

Rais Yoweri Kaguta Museveni amezindua mfumo wa kielektroniki wa kulinda wawekezaji kwa jina la “EIPP” ambao utamwezesha Rais kufatilia Wawekezaji wa ndani na wa nje wakati wakifatilia mchakato wa kuwekeza kwenye nchi hiyo ya Mashariki mwa Afrika.

Jambo hili linajiri ikiwa ni baada ya kuwepo malalamiko ya wawekezaji kucheleweshwa katika michakato kwasababu ya kupitia Kwenye mikono ya watu. Mfumo huu wa “EIPP” unalenga kutatua changamoto hiyo huku ukimwezesha Rais kufatilia kila hatua ya mchakato.

Wawekezaji nchini Uganda wamekuwa wakilalamika kwasababu ya kucheleweshwa vibali na kukosa majibu kutoka kwenye mamlaka za serikali ambazo pia zimekuwa zikishindwa kutatua changamoto hizo na rushwa ikiwa inashamiri kwenye mchakato mzima.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura amefanya mabadiliko ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe na Mkuu wa Chuo cha Polisi Zanzibar.
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading