HAWA NDIO WATU WANAOINGIZA PESA NDEFU AFRIKA

0

0:00

HABARI KUU

Naibu wa Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua amewataka Wakenya wanaoishi nje ya nchi hiyo kuweka akiba na kuwekeza nchini mwao na sio katika mabenki ya kigeni au masoko.

Alizungumza wakati wa kufunga kongamano la siku tatu la uwekezaji wa Diaspora katika kituo cha kimataifa cha Mikutano cha (KICC) jijini Nairobi, Gachagua alisema Diaspora ndio inayoongoza kuingiza fedha za kigeni zaidi nchini Kenya šŸ‡°šŸ‡Ŗ zaidi ya hata sekta za utalii,kahawa na chai.

“Usije mwenyewe, hatukuhitaji kwasasa. Tunataka hubaki huko , lakini utume pesa nyumbani. Utakuja nyumbani hatimaye,lakini si sasa.

Nyinyi ndio watu wenye pesa, na mimi na Rais tunazihitaji ,na hata msipozileta tutakuja kuzichukua huko mlipo”.
Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  GARI LA KAMPUNI YA KILIMANJARO KUUZWA
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading