HII NDIO ORODHA YA WACHEZAJI WANAOLIPWA PESA NDEFU KWENYE LIGI ZA AFRIKA.

0

0:00

NYOTA WETU.

Klabu cha karne , AL AHLY ya Cairo, Misri ndio klabu inayoongoza kwa kulipa wachezaji wake vizuri mno ukilinganisha na vilabu vingine.

Africa Fact Zone imemtaja mlinzi wa timu ya Taifa ya Tunisia šŸ‡¹šŸ‡³ na klabu ya Al ahly, Ali Maaloul ndiye mchezaji anaelipwa pesa ndefu pamoja na Mshambuliaji raia wa Ufaransa, Anthony Modeste . Wote wawili uweka kibindoni fedha za Tanzania šŸ‡¹šŸ‡æ bilioni 3.75 kwa mwaka.

WACHEZAJI WANAOLIPWA PESA NDEFU AFRIKA.

1. Ali Maaloul- Al Ahly 3.75 TZS bilioni

2. Anthony Modeste- Al Ahly 3.75 TZS bilioni

3. RAMADAN SOBHI – Al Ahly 3.65 TZS bilioni

4. Percy Tau Muzhi – Al Ahly 3 TZS bilioni

5. Keagan Dolly – Kaizer Chiefs 2.97 TZS bilioni

7. MOHAMMED AWAD – Zamalek 2.50 TZS bilioni

8.Hussein El shahat Al Ahly 2.50 TZS bilioni

9. Ramy Rabia & Aliou Dieng – AL AHLY 2.25 TZS bilioni

10. Abdallah El-said – Pyramid 2.17 TZS bilioni

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  LADY JAYDEE NI DARASA TOSHA KWANGU
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading