WANAUME WENGI HAWAPENDI KUFANYA MAPENZI SABABU NI HII

0:00

MAPENZI

Ni jambo la kawaida kwa mwanaume kuomba penzi mnapokuwa kwenye mahusiano, hii inabaki kwako kama binti kwamba kufanya mapenzi sio jambo kamilifu.

Kuna mambo mawili ambayo huwa yanafanya mabinti kulalamika kuhusu kufanya mapenzi;-

1. Baada ya kumpa penzi alinikimbia

2.Nilipomnyima penzi ndio maana alinikimbia

Binti anayegawa penzi na anayekataa huwa wanalalamika. Lakini tofauti ni hii;-

Mabinti ebu sikiliza, kufanya mapenzi huwa akumalizi hamu ya kufanya mapenzi kwa mwanaume. Kama huna cha kumpa mwanaume ni bora ubaki pekee yako.

Hakuna mwanaume ataendelea kukupenda kisa eti umempa nafasi ya kufanya mapenzi.

Wanaume wanapenda

Binti mwenye akili

Binti mwenye mawazo ya kimaisha

Binti mwenye heshima

Binti anayejituma au mwenye bidii na kazi

Binti anayejua kupika au kufanya kazi zote za nyumbani

Binti jasiri

Binti mzalishaji

Binti mwenye mawazo ya Maendeleo sio anayeshinda kwenye kioo akijiremba kwa rangi mbalimbali

Binti mwenye akili kichwani sio mwenye makalio makubwa wala mwonekano mzuri ,kwani mwonekano unaweza kuchuja lakini akili kichwani haichuji

Siku hizi Kufanya mapenzi ni jambo la kawaida ambalo yeye anaweza kupata hasa akiwa na hela zake.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  7 CHARACTERISTICS OF CONFIDENT WOMAN
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading