HAMARI TRAORÈ AFUNGIWA NA CAF

0:00

MICHEZO

CAF imemfungia mchezaji wa timu ya Taifa ya Mali beki kisiki, Hamari Traoŕe michezo minne kufuatia kuonyesha utovu wa nidhamu dhidi ya mwamuzi aliyechezesha mechi kati ya Côte d’ivoire dhidi ya Mali kwenye Mashindano ya Mataifa ya Afrika nchini Côte d’ivoire.

Pia, Shirikisho la mpira wa miguu Mali limetozwa kiasi cha dola 10,000 huku kwa upande wa Côte d’ivoire wakitozwa faini ya dola 5,000 kwa utovu kwenye mchezo huo ambao Côte d’ivoire waliibuka washindi kwa kuichapa 2-1 kwenye muda wa nyongeza.

Côte d’ivoire waliibuka washindi wa kombe hilo kwa kuichapa Nigeria 2-1 kwenye fainali hiyo.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  DIAMOND PLATINUMZ APEWA HATI ZA UMILIKI
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading