RWANDA KUONGOZA UKUAJI UCHUMI KWA AFRIKA MASHARIKI MWAKA 2024 .

0:00

MAKALA

Ripoti ya Ukuaji wa Uchumi iliyotolewa na Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB) inaeleza kati ya Nchi 20 zitakazokuwa na Ukuaji wa Kasi ya Uchumi Duniani kote kwa Mwaka 2024, Nchi 11 zitatoka Barani Afrika

Kanda ya Afrika Mashariki imetajwa kuwa itaendelea kuongoza Ukuaji wa Uchumi katika Kanda zote za Afrika ikiwa na Ukuaji wa kiwango cha 5.1% kwa Mwaka 2024 huku ikitarajiwa kufikia 5.7% Mwaka 2025

Nchi 3 za Afrika Mashariki zimetajwa katika orodha hiyo ambapo zitaongozwa na Rwanda inayotarajiwa kupata Ukuaji wa 7.2% ikifuatiwa na Tanzania 6.1% na Uganda itakayokuwa na Ukuaji wa Uchumi wa 6%.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  MTANGAZAJI KAPINGA KISAMBA CLARISSE AWEKA REKODI HII
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading