THOMAS TUCHEL NA BAYERN MUNICH KIMEELEWEKA

0

0:00

MICHEZO

FC Bayern Munich na kocha wake mkuu, Thomas Tuchel wamefikia makubaliano ya kuvunja mkataba wao Juni 2024. Awali mkataba huo ulitarajiwa kumalizika Juni 2025.

Hata hivyo, Tuchel amesema kuwa kwa muda uliobaki yeye na benchi la ufundi watafanya kila wawezalo kuiwezesha timu hiyo kufanya vizuri.

Raia huyo wa Ujerumani alichukua mikoba ya Julian Nagelsmann mwezi Machi 2023. Bayern ipo alama nane nyuma ya Bayer Leverkusen ambayo ina alama 58.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  HENNOCK INONGA TAYARI KASAJILIWA NA TIMU HII
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading