MACKY SALL KUONDOKA MADARAKANI

0:00

HABARI KUU

Rais wa Senegal, Macky Sall, amesema ataondoka madarakani wakati muhula wake utakapotamatika April 2 mwaka huu, hata hivyo akashindwa kutaja tarehe nyingine ya kufanya uchaguzi.

Kauli yake hata hivyo imepokelewa kwa mshangao na wadau wa uchaguzi waliohoji kwanini hajatangaza tarehe nyingine baada ya kuahirisha uchaguzi uliokuwa ufanyike Jumapili ya wiki hii.

Tayari wanasiasa wa upinzani wamekosoa kauli ya Macky Sall, wakijiandaa kwa maandamano zaidi kushinikiza uchaguzi kufanyika kabla ya muhula wake kutamatika.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  NDEGE ILIYOMBEBA MAKAMU WA RAIS YAPOTEA
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading