WATU SITA WAKAMATWA MAUAJI YA RAPA A.K.A

0

0:00

MICHEZO



Jeshi la Polisi Afrika Kusini limekamata watuhumiwa sita wa mauaji ya rapper Kiernan “AKA” Forbes, aliyeuawa kwa kupigwa risasi nje ya mgahawa huko Durban, Februari 10, 2023.

Watuhumiwa wawili walikuwa na bunduki, wawili walipanga njama ya mauaji, na wengine wameshikwa nchini jirani ya Eswatini. Polisi, pamoja na Interpol na Eswatini, wanafanya kazi kuwarejesha watuhumiwa Afrika Kusini.

Jenerali Nhlanhla Mkhwanazi anasema uchunguzi umebaini kuwa AKA ndiye alikuwa mlengwa mkuu, alifuatiliwa kutoka uwanja wa ndege hadi hotelini, kisha Mgahawa na mpango ulikuwa kumpiga risasi ndani ya gari.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  VYUO 20 BORA NCHINI TANZANIA
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading