MANCHESTER CITY YAICHAPA MANCHESTER UNITED

0:00

MICHEZO

Manchester City wameitembezea kichapo cha 3-1 majirani zao wa Manchester United kwenye mchezo wa ‘Derby’ ya Manchester kwenye ligi kuu ya kandanda nchini England.

Ushindi huo umeifanya City kuendeleza mbio zao za kuwania taji la ligi hiyo wakifikisha alama 62 baada ya michezo 27 wakiwa alama moja nyuma ya vinara Liverpool.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  SERIKALI YAPIGA MARUFUKU HOSPITALI KUZUIA MAITI
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading