MICHEZO
Manchester City wameitembezea kichapo cha 3-1 majirani zao wa Manchester United kwenye mchezo wa ‘Derby’ ya Manchester kwenye ligi kuu ya kandanda nchini England.
Ushindi huo umeifanya City kuendeleza mbio zao za kuwania taji la ligi hiyo wakifikisha alama 62 baada ya michezo 27 wakiwa alama moja nyuma ya vinara Liverpool.
Discover more from JUNIITV.ONLINE
Subscribe to get the latest posts sent to your email.