MACKY SALLY ATANGAZA SIKU YA UCHAGUZI SENEGAL

0:00

NYOTA WETU

Rais wa Senegal Macky Sally amechukua hatua ya Uchaguzi Mkuu wa Urais kufanyika Machi 24,2024 ikiwa ni baada ya siku za hivi karibuni Mahakama ya kikatiba kutupilia mbali kuahirishwa kwa tarehe iliyokuwa imepangwa awali.

Muhula wa Macky Sall utamalizika Aprili 2 mwaka huu baada ya kuomba uchaguzi kusogezwa mbele hadi mwezi Juni badala ya Desemba.

Baada ya Mahakama ya kikatiba kutupilia mbali hatua ya Rais Sally, aliamua kumuondoa Waziri Mkuu Aamadou Ba katika nafasi hiyo na kumuweka Sidiki Kaba.

Ikulu ya Rais imetangaza kuwa Amadou ndiye atakayekiwakilisha Chama kilichopo Madarakani katika mbio za kuwania kiti cha Urais.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  Je ni Njia Ipi Salama Wakati wa Kujifungua (Kawaida au Upasuaji)?
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading