MFAHAMU MWANAUME MWENYE MVUTO ZAIDI DUNIANI

0

0:00

NYOTA WETU

Muigizaji mtanashati kutoka Marekani Michael B Jordan amefunguka kuhusu kujisikia mpweke huku akieleza anachotaka katika uhusiano wake ujao wa kimapenzi.

Kulingana alichokisema kwenye podikasti “On Purpose With Jay Shetty,” mwigizaji huyo mwenye umri wa miaka 37, amesema wazi kuwa anapitia “upweke” na kuhisi kutengwa kwa sababu ya kazi yake na umaarufu alionao.

Aidha Jordan ameeleza kutotaka kuingia kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa sasa. “Ninarudi kutaka mahusiano bila kujua ni mpenzi gani bora kwangu,” alisema.

Sehemu ya changamoto ya Jordan kulingana na yeye ni mtazamo wake wa pekee katika kazi yake, ambayo inaathiri maisha yake yote na sio tu uchumba.

Ikumbukwe kuwa Jordan alipewa jina la People’s Sexiest Man Alive 2022 [Mwanaume anayevutia zaidi kwa mwaka 2020] na kuhusihwa kutoka kimapenzi na Lori Harvey kwa mwaka huo huo lakini baadaye walitengana mnamo Juni 2022.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  13 WAYS ON HOW TO SETTLE DISAGREEMENTS IN YOUR MARRIAGE
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading