Klabu ya Simba imeonesha nia ya kutaka kumsajili mlinzi wa pembeni wa Singida Fountain Gate Nickson Kibabage ambaye yupo kwa mkopo Yanga SC .

0

0:00

Mkataba wa Singida na kibabage utaisha 2025, na atarejea katika kikosi cha Singida baada ya kumaliza mkataba wake wa mkopo kwa wananchi mwishoni mwa msimu huu.

Taarifa za ndani zinasema kuwa Simba wanamhitaji Kibabage kwenda kuimarisha kikosi chao kuelekea msimu mpya wa mashindano na kumpatia kocha Benchikha kikosi kipana kwa ajili ya kurudisha mataji ambayo Simba wameyakosa kwa misimu miwili mfululizo.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading