MAJI YA MAAJABU MOROGORO YAIIBUA SERIKALI

0

0:00

HABARI KUU

Katika hali isiyo ya kawaida kwenye Kijiji cha Maji Moto Kisaki Morogoro Vijijini, kuna Maji ambayo yanatoka chini ya ardhi (chemichemi) yakiwa ya moto huku yakiwa na uwezo wa kuivisha yai kwa dakika tano.

Afisa Misitu Msaidizi kutoka TFS Simon Lukumay anasema maji hayo yanatoka kwenye miamba migumu ambapo yanasababisha maji kupata joto Kali sana.

Anasema maji hayo ya uwezo mkubwa wa kuivisha chakula kama mayai kwa muda mchache huku yai linakua imeiva ambapo tayari Serikali imeanza jitihada za kufanya eneo hilo kuwa kivutio cha utalii.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  KAMATI YA BUNGE YALIDHISHWA NA UFUFUAJI WA KMTC
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading