MIAKA MITATU BILA JOHN POMBE MAGUFULI KESHO

0

0:00

NYOTA WETU

Naibu Waziri Mkuu, Dotto Biteko anatarajiwa kuongoza ushiriki wa serikali katika misa takatifu ya kumuombea Hayati Dkt. John Magufuli ikiwa ni kumbukizi ya miaka mitatu ya kifo chake.

Misa hiyo inatarajiwa kufanyika kesho Machi 17 katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Mtakatifu Yohana Maria Muzeyi Chato mkoani Geita.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  KURASA ZA MAGAZETI YA HIVI LEO 04/07/2024
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading