SUALA LA PACOME NA CAREN SIMBA LIKO HIVI

0

0:00

NYOTA WETU

Mrembo Caren Simba amejikuta kwenye wakati mgumu wa kujibu maswali baada ya kubanwa kwenye 18 na Mtangazaji wa Bongo FM Samrathy Shaaban kuhusu tetesi za kutoka kimapenzi na Mchezaji wa Yanga sc Pacome Zouzoua.

Kupitia mahojiano hayo Caren Simba amekana kutoka kimapenzi na mcheza huyo, bali uhusiano wao ni wa Kirafiki.

Alipoulizwa kama sababu ya kuwa nae mbali ni matumizi ya lugha, Careen alikata simu.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading