WIZKID ATAJA SABABU YA KUKATAA MZIKI WA AFROBEATS

0

0:00

NYOTA WETU

Msanii wa Afrobeats kutoka Nigeria Wizkid amewashangaza wengi baada ya kutoa maneno ambayo yamewashtua wadau wengi wa muziki wa Afrika kufuatia kutoa kauli rasmi kuwa yeye sio msanii wa Afrobeats na asihusishwe na chochote kinachohusiana na aina ya muziki huo, Licha ya kuwa muziki huo ndio uliomtambulisha kwenye soko la kimataifa.

Mkali huyo wa muziki Afrika
ametoa kauli hiyo jana kwenye mfululizo wa Insta stories ambapo alikuwa akitangaza ujio wa Album yake mpya ya [Morayo] ambayo itakuwa sio ya muziki wa Afrobeats .

” Album haitakuwa album ya mahadhi ya Afrobeats kwa sababu kadhaa’ kwanini sitaki tena kuitwa msanii wa Afrobeats? Kwa sababu nafanya aina zote za muziki, muziki mzuri lakin sitotaki uwekwe nembo kuwa ni Afrobeats” alisema kupitia insta story.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  MFAHAMU OSMAN BEY KIPENZI CHA WAPENDA FILAMU
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading