KAULI YA GAVANA EMMANUEL TUTUBA YAWAKERA WATANZANIA

0

0:00

HABARI KUU

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Emmanuel Tutuba amesema hali ya Uchumi ni nzuri na wanaosema Maisha yamekuwa magumu wafanye kazi kwasababu hayajawahi kuwa rahisi tangu Mungu alipoumba Dunia

Amesema

“Kinachotakiwa kila mmoja kufanya kazi. Wengine nimewasikia wakisema Maisha yamekuwa magumu. Kimsingi Maisha hayajawahi kuwa rahisi tangu Mungu alivyoumba Dunia. Alivyomuumba Mwanadamu alisema nenda ukale kwa jasho.”



Ameeleza katika robo 3 za mwaka uliopita, Uchumi ulikua kwa wastani wa 5.2% na matarajio ya takwimu zitakazotoka katika robo ya mwisho, Tanzania inaweza kufikia lengo la ukuaji wa 5.3%

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  HOW TO POSITION YOURSELF TO BE FOUND AND LOVED If Your Unmarried
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading