MUIGIZAJI WA NOLLYWOOD AMAECHI MUONAGOR AFARIKI DUNIA
NYOTA WETU
Muigizaji Mkongwe wa Nollywood Nigeria, Amaechi Muonagor amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 62 baada ya kuugua magonjwa mbalimbali huku kufeli kwa figo yake kukitajwa kuwa chanzo cha kifo chake.
Hivi karibuni video za muigizaji huo zilisambaa akiomba watu wamchangie ili asafiri nje ya Nigeria kwa ajili ya matibabu ambapo tayari Watu mbalimbali wa ndani na nje ya Nigeria walianza kumchangia hivyo ripoti ya kifo chake kimegusa hisia za watu wengi.
Discover more from JUNIITV.ONLINE
Subscribe to get the latest posts sent to your email.