RAIS JAVIER MILEI KUWAFUTA KAZI WAFANYAKAZI WA SERIKALI

0

0:00

HABARI KUU

Rais Javier Milei amepanga kuwafuta kazi Wafanyakazi wa Serikali 70,000 ambao Mikataba yao inatarajiwa kumalizika hivi karibuni ili kupunguza matumizi ya Serikali.

Akizungumza Machi 26, 2024 amesema amepanga kusitisha baadhi ya Miradi ya Umma na kufuta zaidi ya programu 200,000 za Ustawi wa Jamii baada ya Miradi hiyo kihusishwa na Rushwa.

Amesema

ā€œTumeondoa suala la Uhamisho wa kazi na pia tunaondoa Wafanyakazi 70,000 wa Umma. Miradi ya Umma ni chanzo kikuu cha wizi, wizi ambao naamini watu wema wote wanapaswa kupinga.ā€

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  MWANZILISHI WA ACCESS BENKI WIGWE AFARIKI DUNIA
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading