AZIZ KI ALAMBA MKATABA MPYA YANGA

0:00

TETESI

Walichofanya Yanga ni kutocheza na shilingi chooni, wakaamua kutoa mkataba wa muda mrefu kwa Kiungo Mshambuliaji wao, Stephane Aziz Ki ambao utamuweka jangwani kwa miaka mingine mitatu.

Taarifa za ndani zinaeleza kuwa Aziz Ki ameshasaini mkataba na Yanga na kilichobakia ni kuweka hadharani juu ya makubaliano hayo.

Mkataba wa awali wa Aziz na Yanga unafikia ukingoni Juni 2024, na amehusishwa na vilabu vya Afrika Kusini ikiwemo Mamelodi Sundowns na Orlando Pirates Football Club zote zikihitaji huduma ya kiungo huyo wa Burkina Faso.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading