WANAJESHI WATATU WA TANZANIA WAUAWA KWENYE MAPIGANO DRC
0:00
HABARI KUU
Wanajeshi watatu wa Tanzania wanaohudumu katika kikosi cha kulinda amani cha Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wameuawa kwenye shambulio la kombora Mashariki mwa DR Congo na wengine watatu kujeruhiwa.
Taarifa ya SADC haijaeleza ni wapi, lini au nani aliyehusika na shambulio hilo.
Discover more from JUNIITV.ONLINE
Subscribe to get the latest posts sent to your email.