SABABU BENO KAKOLANYA KUIKIMBIA MECHI YA YANGA

0

0:00

MICHEZO

Baada ya klabu ya Singida Big Stars kutoa taarifa kuwa, mlinda mlango wake, Beno Kakolanya ametoroka kambini wakati timu ikikabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Yanga Sc, Beno amekanusha taarifa hizo na kusema kamwe hawezi kutoroka kambini.

Beno Kakolanya ameeleza kuwa hajatoroka kambini bali alitoa taarifa kwa meneja wa timu na kuruhusiwa.

ā€œNilimpa taarifa Meneja kuwa nimepata tatizo na ilikuwa ni siku ya Alhamisi na ilitakiwa niondoke usiku huo huo nikaondoka usiku huo.

ā€œAliyewapa maelekezo anajua ana maana gani waseme hivyo pia niliyempa taarifa naye kafikishaje ujumbe swali lipo hapo.

ā€œIla kwakuwa wamenichafua Sana ngoja wanipe ushahidi nimehujumu wapi timu,ā€ amesema
Kakolanya.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  Wolves skipper Mario Lemina believes being appointed captain will help him "clean" his name after previously being accused of having attitude problems during his career.
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading