YANGA YAICHAPA SINGIDA IKIIPA SIMBA MASWALI MAGUMU

0

0:00

MICHEZO

Ikicheza mchezo wake wa 21, Yanga imepata ushindi wa magoli 3-0 dhidi ya Singida Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza

Magoli yamefungwa na Joseph Guede mawili na Stephene Aziz Ki, hivyo Yanga imefikisha pointi 55, ikiongoza kwa tofauti ya pointi 8 dhidi ya Azam FC inayofuatia ikiwa na pointi 47 kisha Simba alama 46

Ushindi huo unaiweka Yanga katika nafasi nzuri ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara, mchezo ujao ikitarajiwa kukipiga dhidi ya Simba kwenye Kariakoo Derby.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  MWAMUZI BEIDA DAHANE ALIYEIUA YANGA ATOA KAULI HII NZITO KWA MASHABIKI
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading