MWILI WA MKUU WA MAJESHI KENYA KUZIKWA NDANI YA MASAA 72

0

0:00

HABARI KUU

Mwili wa Mkuu wa Majeshi Nchini Kenya, (CDF) Jenerali Francis Ogolla aliyefariki katika ajali ya Helikopta siku ya Alhamisi eneo la Sindar katika Kaunti ya Elgeyo Marakwet Nchini humo utazikwa nyumbani kwa familia yake huko Alego Usonga, Kaunti ya Siaya siku ya Jumapili, Aprili 21, 2024.

Mwanafamilia alifichua kuwa marehemu Jenerali Ogolla alikuwa ameeleza katika Wosia wake kwamba, atakapofariki, azikwe ndani ya saa 72.

Ogolla alifariki pamoja na wanajeshi wengine tisa katika ajali hiyo ambapo Rais wa Kenya wa William Ruto ametangaza siku tatu za maombolezo kufuatia kifo cha Jenerali Ogolla.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  USIPOMPELEKA MTOTO SHULE UNAFUNGWA
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading