YOUNG AFRICANS YAICHAPA SIMBA KWENYE KARIAKOO DERBY

0

0:00

MICHEZO

Wananchi wameendeleza ubabe kwenye ‘Derby’ ya pili ya msimu baada ya kuibuka na ushindi mwingine dhidi ya Watani, Simba Sc katika dimba la Benjamin Mkapa.

YANGA SC 2-1 SIMBA SC
āš½ Aziz Ki (P) 20′
āš½ Guede 37′
āš½ Freddy Kouablan 74′

Wananchi wanakwenda mpaka pointi 12 mbele ya Mnyama wakifikisha alama 58 baada ya mechi 22 huku Wekundu wa Msimbazi wakisalia nafasi ya tatu alama 46 baada ya mechi 21.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  Menā€™s doubles shuttlers Aaron Chia-Soh Wooi Yik face a fierce battle to qualify for the World Tour Finals from Dec 11-15 in Hangzhou.
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading