YOUNG AFRICANS YAICHAPA SIMBA KWENYE KARIAKOO DERBY
MICHEZO
Wananchi wameendeleza ubabe kwenye ‘Derby’ ya pili ya msimu baada ya kuibuka na ushindi mwingine dhidi ya Watani, Simba Sc katika dimba la Benjamin Mkapa.
YANGA SC 2-1 SIMBA SC
ā½ Aziz Ki (P) 20′
ā½ Guede 37′
ā½ Freddy Kouablan 74′
Wananchi wanakwenda mpaka pointi 12 mbele ya Mnyama wakifikisha alama 58 baada ya mechi 22 huku Wekundu wa Msimbazi wakisalia nafasi ya tatu alama 46 baada ya mechi 21.
Discover more from JUNIITV.ONLINE
Subscribe to get the latest posts sent to your email.